Top News

Mashujaa wapewa ahadi nzito mechi dhidi ya Yanga

 

Uongozi wa Mashujaa Fc umewaahidi wachezaji wao bonasi ya Tshs Milioni 50 kama wataifunga Young Africans Jumapili hii Feb 23.

➡️ Kama watafanikiwa kupata sare watapata bonasi ya Tshs Milioni 25.


Post a Comment

Previous Post Next Post