Michezo AMEKABIDHIWA JEZI NZITO HUYU MWAMBA NDANI YA UNYAMANI 2/21/2025 Vijana Brand MZEE wa Waa Steven Mukwala amekabidhiwa jezi nzito ndani ya timu hiyo kutokana na kasi yake kutokuwa kwenye ubora ndani ya uwanja kwenye mechi za ushindani ndani ya msimu wa 2024/25.Post navigation
0 Comments:
Post a Comment