Fei Toto Akataa Ada ya Milioni 800 na Mshahara Milioni 30 Kila Mwezi
Feisal Salum amebakiza miezi 16 kwenye mkataba wake ndani ya AZAM FC
Fei Toto amekataa ofa mpya ya mkataba wa miaka miwili na AZAM FC ambayo inajumuisha ada ya kusaini ya $320,000 ambazo ni sawa na Tsh. 822,376,640 na mshahara wa kila mwezi wa $12,000 sawa na milioni 30,839,124 za kitanzania .
Huenda Kuna Offer Kubwa zaidi ipo mezani kwake na Hajatuambia



No comments