Subscribe Us

Breaking News

Haji Manara: Hata Kama wewe Ndio Kiongozi wa Makolo Usingeleta Timu Leo

Ameandika Haji Manara;

Hata kama ungekuwa wewe ndio kiongozi wa Makolo usingeleta team leo

Nyuma kumeenea na Mbele kwa Moto balaa

Last week, nilimsikia mmoja wao akiongea mahali eti mechi huenda isiwepo kwa kuwa itanyesha mvua kubwa sana Ijumaa na Jumamosi hii.
Nikamuuliza ni lini umekuwa Mtabiri wa hali ya hewa? Akajiuma jiuma kama Chale

Majuzi wakamtuma Mzee Azim achafue hali ya hewa kwa kumkataa Refarii la Dunia Ahmed Arajiga🥺

Yote ilikuwa ni kutafuta sababu ya kuumwaga leo,,,
Waliskuti wakaona tunaenda kukandwa kwa mara ya tano

Ila Bora wasije tu maana safari hii zingefika nane au tisa



Download/Pakua/Install App ya Abedijr kupitia google crome Bofya Hapa

                               app hii aipatikani google playstore ka sasa hupatikana kwenye wavuti yetu hii 

No comments