HomeMichezo KASEJA KOCHA MPYA KAGERA SUGAR byVijana Brand -3/05/2025 0 Vongozi wa Klabu ya Kagera Sugar wametoa taarifa kwa Mashabiki wa Klabu hiyo na Wadau wa mpira kwamba kuanzia sasa Juma Kaseja atakuwa Kocha Mkuu wa kikosi hicho. Tags Michezo Facebook Twitter