Kennedy Musonda mbioni kujiunga na AZAM FC.
TRANSFER NEWS🎙Kennedy Musonda (30) mbioni kujiunga na AZAM FC.
Azam Fc wamewasiliana na Yanga Sc ili kuinasa saini ya Mshanbuliaji Kennedy Musonda... Mazungumzo bado yanaendelea ila uwezekeno Wa mchezaji huyo kujiunga na Azam Fc ni mkubwa mno
Download/Pakua/Install App ya Abedijr kupitia google crome Bofya Hapa
app hii aipatikani google playstore ka sasa hupatikana kwenye wavuti yetu hii




No comments