Subscribe Us

Breaking News

Msemaji wa jeshi na mwanajeshi wauawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani ikulu


h

CHANZO CHA PICHA,MOHANAD HASHIM / BBC

Maelezo ya picha,Msemaji wa jeshi Lt Kanali Hassan Ibrahim, pichani hapa wiki iliyopita, ni mmoja wa waliofariki

Msemaji wa jeshi ameuawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani ya RSF kwenye ikulu ya rais, jeshi linasema.

Luteni Kanali Hassan Ibrahim ameuawa pamoja na Kapteni Emad Eldein Hassan, mfanyakazi mwenzake mwenye cheo cha chini , jeshi limeiambia BBC. Kapteni Hassan alikuwa mmoja wa washawishi maarufu wa mitandao ya kijamii wa jeshi.

Wafanyakazi watatu wa kituo cha televisheni cha Sudan pia waliuawa walipokuwa wakiripoti kuhusu harakati za wanajeshi hao kuelekea ikulu. Walikuwa mhariri wa vipindi, mpiga picha na dereva.

Mashambulizi hayo ya ndege zisizo na rubani yalilenga wanajeshi waliokuwa wakisherehekea ndani ya Ikulu ya Republican, saa chache baada ya wanajeshi kuliteka tena jengo hilo la mfano kutoka kwa RSF.

h


Download/Pakua/Install App ya Abedijr kupitia google crome Bofya Hapa

                               app hii aipatikani google playstore ka sasa hupatikana kwenye wavuti yetu hii 

No comments