Subscribe Us

Breaking News

Mwanamke wa Namna hii Hakufai Asilani na wala Usipoteze Muda Wako Juu yake


Mwanamke wa Namna hii Hakufai Asilani na wala Usipoteze Muda Wako Juu yake


Kuna wanawake wa aina nyingi hapa duniani.Kuna baadhi ya tabia zao zikianza kujionesha katika mahusiano yenu jua kuwa taa nyekundu imeshawaka na yakupasa ushtuke na usepe mapema.

Mwanamke ambae hakusalimii wala kukujulia hali wala kukutakia usiku mwema mpaka umuanze wewe jua kabisa kuwa haupo kwenye moyo wake. Hapa ndugu unatakiwa ushtuke mapema na ikiwezekana temana nae.

Mwanamke ambae ukimtumia sms zako anazisoma halafu hakujibu ontime kwa kisingizio kuwa yupo busy na kazi , na anajibu anavyojisikia yeye labda baada ya siku moja su hata wiki baada ya kuzisoma jua kuwa huna umuhimu kwake ,hivyo inakupasa ujiongeze.

Ahlan wa sahlan

Mwisho ni mwanamke ambae ukiona anakutafuta au kukujulia hali yako ni pale tu anapokuwa amekwama kiuchumi.Huyu temana nae na umfungie vioo kabisa maana hakufai ,umuhimu wake kwako ni katika masuala ya pesa tu.


Download/Pakua/Install App ya Abedijr kupitia google crome Bofya Hapa

                               app hii aipatikani google playstore ka sasa hupatikana kwenye wavuti yetu hii 

No comments