Subscribe Us

Breaking News

Rasmi Zamaleck Wapewa Alama 3 Baada ya Ahly Kugomea Derby



Shirikisho la soka la Misri limeipatia Zamaleck alama tatu baada ya Ahly kutokutokea kwenye mchezo wa Dabi wakishinikiza mchezo huo uchezeshwe na waamuzi kutoka nje ya nchi

Pia Ahly atapokonywa alama tatu kwenye alama zake za Jumla mwishoni mwa Msimu

Kumbe ndio maana hawa wanakuwa ligi namba moja hawana Siasa wa vipengele😂

Cc #MickyJnr


Download/Pakua/Install App ya Abedijr kupitia google crome Bofya Hapa

                               app hii aipatikani google playstore ka sasa hupatikana kwenye wavuti yetu hii 

No comments