Michezo MGHANA HUYU KUIBUKIA YANGA MAPEMA 2/19/2025 Vijana Brand INATAJWA kuwa mabosi wa Yanga wapo kwenye hesabu za mwisho kumalizana na nyota wa Ghana aliyemtungua Diarra kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex.
0 Comments:
Post a Comment